Janeth Joseph aja kwa kasi
 |
MSANII chipukizi
Janeth Joseph ‘Jane’ amepania kufanya
makubwa katika filamu ya The Power itakayomkutanisha na Abdul Naseeb na King
Majuto. Akizungumza
na Bongo Unit, alisema ataitumia vizuri nafasi hiyo kuhakikisha
anashika vizuri katika tasnia ya filamu. Jane alisema
filamu hiyo kwake ndiyo itakuwa ya kwanza, katika kapuni ya The Nyerere Power
inayomilikiwa na Stive Nyerere. “Nimeahidiwa
nitafanya vilamu nyingi, endapo nikifanya vizuri katika filamu hii” alisema. Kampuni ya
The Nyerere Power, inatarajia kumchezesha msanii huyo pia kwenye filamu ya Goodbye Mr Predent na Ilove You Zanzibar.
|
 |
Janeth Joseph |
About Gomesa Tv -
Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.
https://www.facebook.com/gomesamohamedi