MWANAMUZIKI
wa muziki wa Singeli Seleman Jabir ‘Msagasumu’ amesema wasanii wa muziki wa
Bongo Fleva, hawana hofu na muziki wa
Singeli isipokuwa wanahofu nay eye katika muziki wao wa Bong
BAADA ya
tasnia ya filamu ya Bongo Movies kuyumba mwigizaji wa filamu nchini Vicenti
Kigosi ‘Ray’ amesema bado hana imani na kuuza kazi yake katika mtandao ‘App’ kutokana na ubora.
NYOTA ya
mwigizajiwa Hollywood na Bollywood
Priyanka Chopra inazidi kung’aa baada ya mashabiki zake kumtaja zaidi kwamba
anapendeza zaidi kucheza katika filamu ya Batwoman and Spider – Woman ya nchini
Marekani.