Mwigizaji nyota wa filamu Issa Mussa 'Cloud 112' ameamua kuja na filamu kali, ambayo itakuja kuifunika filamu ya TOBA, ambayo hiyo itakuwa ikiitwa SHAHAADA. Katika filamu hiyo ambayo ameifanya hivi karibuni itakuwa na mahadhi ya kidini ya kiislamu na kuvutia watu wengi kutokana na matukio ya humo ndani
Hebu pata baadhi ya picha ndani ya filamu hiyo ambayo inakuja kutikisa.



